Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Rais Kikwete ahutubia bunge la Afrika Mashariki

25/05/2010

Siku ya Jumanne, tarehe 25 Mei 2010, Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ndiye Mwenyekiti wa sasa wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Jakaya Mrisho Kikwete, alihutubia bunge la Afrika Mashariki mjini Nairobi, Kenya. Aliyeketi (kulia mwa raisi) ni Spika wa bunge hilo Mhe. Abdirahim Abdi.

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©