Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Kocha mpya wa Taifa Stars JAN BORGE POULSEN

10/06/2010

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa miguu nchini Tanzania (TFF) Fredrick Mwakalebela emamtangaza kocha mpya wa timu ya taifa ya Tanzania kuwa ni bwana Jan Borge Poulsen.

Kocha huyo ambaye ni raia wa Denmark ana wasifu wa kuichezea timu ya taifa ya Denmark na kufundisha timu mbalimbali za taifa katika bara la Asia na Ulaya.

Jan Borge Poulsen (pichani) amepewa mkataba wa miaka miwili kuifundisha Taifa Stars kuanzia mwezi Agosti, 2010.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©