Rais Karume afungua
mkutano wa miradi ya jamii
16/06/2010

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume emefungua mkutano wa siku 5 kuhusu
miradi ya Jamii kwa nchi zinazoendelea katika ukumbi wa mikutano wa AICC
Arusha. Mkutano huo umewashirikisha wajumbe wa nchi 45 duniani.

Pichani ni baadhi ya wajumbe zaidi ya mia
mbili waliohudhuria mkutano huo.
|