Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Rais Kikwete apokelewa kwa shangwe Kigoma

17/06/2010

Baadhi ya wakazi wa kigoma wakimlaki Rais Kikwete kwa ngoma za utamaduni baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kigoma kwa ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani humo.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mtoto ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kigoma kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kufungua rasmi hoteli ya Lake Tanganyika mjini Kigoma. Kushoto ni Mmiliki wa hoteli hiyo Bwana George Nzunda na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Simbakalia.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua mandhari ya Hoteli ya Lake Tanganyika muda mfupi baada ya kuifungua mjini Kigoma. Kulia ni Mmiliki wa Hoteli hiyo Bwana George Nzunda na katikati ni Mkuu wa Mkoa wa kigoma Kanali Simbakalia.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©