Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Tahadhari na uegeshaji gari

20/06/2010

Kila ifikapo jioni, 'Askari' huyu hupita mtaa wa Samora kuelekea Makao Makuu ya Polisi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kuchukua wafanyakazi.

Hivyo, njiani akilikuta gari limeegeshwa njiani hata kwa dharura, hulitoa upepo.

Akiwa kamaliza kazi yake, sasa anaendelea na safari yake.

Wengi wamekubwa na adha hiyo ingawa siku moja inadaiwa alimtolea upepo bosi wake bila ya yeye mwenyewe kujua... Hivyo watumiaji wa barabara hiyo kuweni makini na kadhia hii ya kutolewa upepo magari.

Na hii ni Zanzibar, katika majumba ya Michenzani. Ikionekana pichani kigari cha kubebea mizigo ikiondoa gari katika maeneo ya Michenzani kupisha matengenezo makubwa ya barabara ya Michenzani-Mlandege.

Gari lingine likipigwa kijiko mbele ya jumba namba Tano la Michenzani, Zanzibar.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©