Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

SIMBA 0 - YANGA 1

17/10/2010

Mchezaji wa timu ya soka ya Yanga, Jerry Tegete amemchoma Simba mkuki mmoja na kumwacha na bandeji yake kunano dakika ya 71 katika mchezo wao uliochezwa kwenye kiwanja cha Kirumba jijini Mwanza.

Simba ndiyo wa kujibebesha lawama wenyewe kwani waliotizama mechi wanasema timu ilikosa nafasi nyingi sana za wazi lakini nafasi ya mtende waliyoipata Yanga hawakuifanyia ajizi na ndiyo iliyozaa goli la mechi.

Katika mechi hiyo, Kocha wa Yanga, Papic alitolewa nje ya uwanja na mwamuzi. (samahani sikutizama mechi hivyo sina taarifa kamili ya iliyokuwa sababu hasa ya kutolewa nje kwa kocha huyo).

Timu zote (Simba na Yanga) sasa zinakuwa zimeshacheza michezo 8 ambapo Yanga inaongoza ligi kwa kuwa na pinti 19 ikifuatiwa na Simba yenye pointi 15 na nafasi ya tatu ipo kwa JKT Ruvu kwa pointi 11 za mechi 6.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©