![]() |
|
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Meli ya huduma ya afya yaingia Dar es Salaam23/10/2010
Meli ikiwa imetia nanga bandarini Dar es Salaam
Mganga Mkuu wa Hospitali Kuu JWTZ Lugalo, Meja Jenerali Salim Salim, akionyeshwa machine ya upimaji magonjwa ya moyo iliyomo katika meli ya China. Kushoto ni Kamanda wa meli hiyo, Bao Yuping na kulia ni Balozi wa China nchini Liu Xinsheng. Kwa habari zaidi juu ya meli hii bonyeza hapa.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||