Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Bi Shadya Karume na mumewe watuzwa

25/10/2010

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Amani Abeid Karume pamoja na mkewe Mama Shadya Karume wamepokea zawadi mbalimbali zikiwemo picha za kuchorwa na ngao maalumu za heshima, toka kwa wananchi wa Zanzibar, ikiwa ni shukrani zao kutokana na mchango wao katika uongozi.

Waliokabidhi zawadi kwa niaba ya Wananchi wa Zanzibar ni Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaj Ali Hassan Mwinyi na mkewe Bi. Sitti. Sherehe zilifanyika katika viwanja vya Ikulu, Zanzibar.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©