Rais Mteule, Dk.
Ali Mohamed Shein na Maalim Seif Sharif Hamad
wakikumbatiana baada ya kutangazwa matokeo ya
uchaguzi wa mwaka 2010 Zanzibar. Dk. Shein
kupitia CCM alipata kura 179,809 sawa na 50.1%
ya kura zote, na Maalim Seif kupitita CUF
alipata kura 176,538 sawa na 49.1% ya kura zote
na zilizobaki ni za vyama vingine.

Hakika ni picha ya
kihistoria ambayo wengi wananchi wa nyumbani
waliokuwa wakifanya subra kuiona. Hongera Dk.
Shein na Maalim Seif na tunawatakia kila la
kheri.

Rais Mteule Dk.
Shein akipewa hongera na mkewe Mama Mwanamwema.