Rais mpya
wa awamu ya saba ya uongozi wa Serikali
ya Mapinduzi na Baraza la Wawakilishi
Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein
ameapishwa kushika hatamu za uongozi kwa
kipindi cha miaka mitano, 2010 - 2015.
Hafla imefanyika asubuhi kwenye majira
ya saa tatu katika uwanja wa Amani,
Zanzibar.