![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS archive |
||||||||
|
01 January 2008 |
||||||||
Maendeleo ya mikutano ya jumuia za kuanzisha 'forum'Mahala: 30 Station Road, Manor Park, London, E12 Saa: 9 mchana - 1 usiku Waliohudhuria: EAEF: Ustadh Nassor Haroub, Ustadh Khamis Fakih, Moh'd Nassor, Dr. Mohd Z. Salim, Hafidh Karama, Khalfan Abdalla, Abdallah Ali, Mohammed Shaban. Muzdalifah: Juma H. Juma, Omar Mohammed, Salum Umbaye, Gharib Maalim, Suleiman Hamad. Al Noor: Abdallah Said, Mbarak Hussein, Ali Said, Ahmed Masoud, Khelef Mohammed. Zenjydar: Saleh Jaber, Farid Nassor. Ajenda:
Ajenda: (1) Ripoti za jumuia (kwa ufupi) (2) Mipango ya Mwaka ujao Zenjydar: Madhumuni: Kusaidia jamii katika maeneo ya Uhamiaji, Ustawi wa Jamii, Elimu, Ajira, Mila na Utamaduni. Matukio:
Shughuli zote zilipata mahudhurio mazuri na tunategemea kupata mahudhurio mazuri zaidi katika matukio yajayo ya jumuia. Ushauri:
Mipango Ya Baadae:
Muzdalifa: Madhumuni: Kuendeleza elimu na kukuza mfuko wa chama. Matukio:
Mipango Ya Baadae:
Al Noor:
Matukio:
Mipango Ya Baadae:
EAEF:
Matukio:
Mipango Ya Baadae:
Ajenda 3. Maeneo ya Mashirikiano: Mada hii haikuzungumziwa ingawa iligusiwa kwamba maeneo 4 ni muhimu: Elimu, Msikiti, Vifo na Maziko na Vyuo.
Ajenda 4. Mengineyo: Makatibu wakuu wa Jumuia 4 watakuwa ni wawakilishi wa jumuia zao na watakuwa ni kama kamati tendaji itakayoshirikiana na uongozi unaohusika (wanaokabidhi na wanaokabidhiwa) katika kusaidia katika matayarisho ya mikutano ijayo. Kwa kila kikao jumuia zitakuwa zinabadilishana uongozi (i.e. kutakuwa na 'rotation' ya uongozi baina ya vyama vyote). Kabla ya kufunga wahudhuria wa kikao wa vyama hivyo walijielezea zaidi masuulia ya kila mtu katika chama chake.
Ajenda 5. Tarehe Ya Mkutano Unaokuja: Tarehe: 03/02/2008. Mahala: Wakering Road, Barking, IG11. Wakati: saa 9 mchana - saa 12 jioni. Mwenyekiti atakuwa: Chama cha Al Noor.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||