![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS archive |
||||||||
|
02 March 2008 |
||||||||
Maendeleo ya mikutano ya 'Swahili Forum' East LondonMahala: Manor Park, E12, Newham, London Saa: 9 mchana - 1 usiku Waliohudhuria: Al Noor: Ustadh Ali Nassor, Ustadh Mbarak Hussein, Ustadh Sabry, Ustadh Said Mohammed, Ustadh Said, Ustadh Ali Said. EAEF: Ust. Khalfan, Ust. Khamis Faki, Dk. Mohammed Salim, Ust. Hafidh Karama, Ust. Nassor Haroub. Muzdalifah Leyton: Ust. Khalfan, Ust. Khamis Faki, Dk. Mohammed Salim, Ust. Hafidh Karama, Ust. Nassor Haroub. Zenjydar: Shk. Saleh Jaber, Shk. Farid Nassor 1. Mkutano uliyopita na mambo yaliyojitokeza ambayo yanahitaji uamuzi wa kamati ya ‘forum.
2. Maoni kuhusu maziko na matokeo yake: - Jumuia zote zimeunga mkono jambo la maziko. - Jumuia zote zimekubaliana kuwa na mfuko mmoja (mfuko mama). - Jumia zote zimekubaliana kuwa na kamati moja ya kutekeleza utendaji. Baada ya matokea hayo, jumuia zimeamua kuzungumzia vitu ambavyo vinahitaji wasaa mrefu katika ajenda ya mikutano ijayo vinavyohusu maziko ambavyo havijafikia uamuzi. 3. Kuirejea sera ya ‘The Masjid Project’: Vipengele vya sera ya ‘The Masjid Project’ vilipitiwa na jumuia zote na matokeo hayajafikia mwisho au ‘conclusion’. Ama baada ya mjadala mrefu, imeelekea kuwa mjadala huo umeleta chimbuko la uamuzi wa mwisho wa maelewano ya jumuia zote kufikia uamuzi wa kupendeza kwa kila jumuia husika katika ‘The Masjid Project’ na vilevile kuendelea na malengo na mikakati mingine kwa pamoja ambayo yenye kuleta maendeleo katika jamii yetu. 4. Mengineyo: 1. Kuzidisha ‘exchange of communication’ habari tofauti kati ya jumuia nne na jamii. 2. ‘Codes of Practice’ ziwe ‘practiced’. 5. Mkutano ujao: Tarehe 06/04/2008, Jumapili, saa 9 mchana – saa 1 usiku. Manor Park, E12. Mwenyekiti wa mkutano ni jumuia ya Muzdalifah.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||